UPADRISHO 2023

Tarehe 7 julai 2023, mama Kanisa jimbo la Kigoma alijipatia mapadre wapya watano, kwa kuwekwa wakfu na mhashamu Askofu Joseph Roman Mlola, ALCP/OSS Askofu wa jimbo la Kigoma.mapadre hao ni Padre ALSEN COSMAS, Pare GEORGE  MUHANUKA, Padre DIONISE MYIGEZO, Padre ROBERT Y. HILARY na Padre XAVERY BINYOGA.

Related Posts

USHEMASI 2024, 25 Januari

Tarehe 25 mwezi wa kwanza katika sikukuu ya kuongoka kwa Mtakatifu Paulo kuliadhimishwa jimboni kigomaRead More

BAHASHA YA JIMBO

On 7th December 2023, the diocese of Kigoma held an event known as “BAHASHA YARead More

SHEREHE YA UWUKI

Pongezi kwa Wajubileani wa miaka 25 katika utume, Upadre na Utawa. Tarehe 19 Octoba 2023,Read More

Leave a Reply