
Historia fupi ya madhabahu ya Mama Bikira Maria, Afya ya Wagonjwa, Buhabhugali na Kituo cha Ushauri cha Mtakatifu Teresa wa Calcuta, wakati wa ufunguzi wake tarehe 27 Oktoba 2018 iliyoandaliwa na Askofu wa Jimbo la Kigoma Tanzania
+Joseph R. Mlola, ALCP/OSS. Askofu wa Jimbo Katoliki Kigoma.